BOTI YAZAMA NA WATU 36 JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO

Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo zinasema kuwa mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36.
Maafisa wanasema kuwa zaidi ya watu 100 wamenusurika.
Inaripotiwa kuwa ajali hiyo ilitokea siku ya Jumatatu umbali wa kilomita 30 kutoka mji wa kisangani na kusababisa maandamano yaliyofanywa na vijana wenye hasira kwenye mji wa Isangi ambapo mashua hiyo ilikuwa ikielekea nyumba kadha za serikali zinaripotiwa kuchomwa.
Chanzo: BBC Swahili
WASILIANA NAMI:
Facebook: jamaly tarimo
Twitter: @jamalytarimo
Instagram:jamaly tarimo
Simu:+225712215913
Email: autorunjamaly@gmail.com
Hakuna maoni